Skip to main content

RC IRINGA AMPONGEZA RITTA KABATI KWA KUHAMASISHA MICHEZO KUPITIA MASHINDANO



Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akisalimiana na wachezaji timu ya MUCOBA toka wilaya ya Mufindi mkoani Iringa akifuana na Mdhamini Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kabla mchezo wa fainali kati ya Ruaha FC na MUCOBA FC jana. (Picha Friday Simbaya)






MASHINDANO ya Ritta Kabati ‘Challenge Cup’ yamepata mshindi na bingwa wa kwanza wa mashindano hayo ambaye ni Timu Ruaha FC ya mjini Iringa, baada ya kuitoa MUCOBA ya Mufindi kwa mikwanji ya penati 4-2, baada ya kipenga cha mwisho ilikuwa 0-0 jana.

Mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza ambapo pamoja na mambo mengine ametoa pongezi katika uwanja wa chuo cha ualimu Kreluu wakati wa fainali kati ya Mucoba FC na Ruaha. 

Alisema alisema kuwa alipendezwa na mashindano hayo na kuwa yameendeshwa kwa uratibu mzuri japo timu ya Polisi FC ndio ambayo ilitaka kuvuruga mashindano hayo. 

Mkuu huyo wa mkoa alisema timu ya Polisi ilionyesha utovu wa nidhamu katika mashindano hayo jumbo ambalo sio nzuri katika tasnia michezo ambayo ina taka kuwa na ‘fair play’. 

MKUU wa mkoa wa Iringa Amina Masenza alipongeza jitihada za Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Ritta Kabati kwa kuhamasisha michezo kupitia mashindano yake ya Ritta Kabati Challenge cup 2017.

Masenza alitoa zawadi mbalimabli kama ifuatavyo; mshindi wa kwanza ni Ruaha FC alipewa pikipiki, kikombe na mpira mmoja na pesa taslimu 50,000/-, mshindi wapili ni MUCOBA alipewa pesa taslimu laki tano na mpira na mshindi wa tatu ni timu ya Kitanzini FC ya mjini Iring ilizawadiwa pesa taslimu laki mbill na mpira pamoja na zawadi zinginezo zilizotolewa kwa washindi mbalmbali.


Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza amepongeza jitihada za Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Ritta Kabati kwa kuhamasisha michezo kupitia mashindano yake ya ‘Ritta Kabati Challenge Cup 2017.’

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...