Skip to main content

YALIYOJIRI KIAKO CHA BARAZA LA BIASHARA LA MKOA WA IRINGA

Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Mkoa wa Iringa Amina Masenza, ambaye pia ni Mkuu wa Mkoawa Iringa akitoa hotuba akionja majani ya stevia yenye sukari nyingi huku Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Iringa Lucas Mwakabungu akishuhudia wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.

#######################################
Masenza alitoa rai kwa wajumbe na wadau mbalimbali kutumia fursa vizuri zilizopo mkoani iringa kutengeza ajira kwa wananchi husani vijana. Aidha, ajira hizo zitakuza pato la mwananchi mmoja mmoja kwa kwa taifa nzima.

Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Asia Abdallah akitoa maoni wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) mkoa wa Iringa Odilo Ngamilaga akitoa maoni wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.


Kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Wamoja Ayubu, Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela na Katibu mtendaji TCCIA (M) James Sizya wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.

Makamu mwenyekiti wasindikaji Mafuta ya Alizeti Enok Ndondole akitoa maoni wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.

Majani ya aina ya Stevia (Stevia sweetener ) ambayo ni majini ya yanayotumika kutengenezia sukari ambayo yaliletwa na mwekekezaji kutoka Stevia Tanzania limited CEO James Davison wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.

Mwekezaji kutoka Stevia Tanzania Limited James Davison (kulia) akitambulisha kilimo cha stevia yaani majani wa kutengenezia sukari wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.

Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Mkoa wa Iringa Amina Masenza akionja majani ya stevia yenye sukari nyingi huku Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Iringa Lucas Mwakabungu akishuhudia wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa kilichofanyika katika Ukumbi wa Valentine mjini Iringa jana.

Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Iringa Lucas Mwakabungu akimkaribisha mweneykiti wa baraza la biashara la mkoa wa Iringa wakati wa kikao cha baraza hilo.



Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...