Skip to main content

KIKAO CHA BARAZA KUU UWT TAIFA CHAFANYIKA KWA KISHINDO MJINI DODOMA








Katibu Mkuu wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Amina Makilagi na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Idara ya Oganaizesheni Pereila Silima wakiwasili ukumbini tayari kwa ajili ya kusimamia Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017. 




Wajumbe na waalikwa wakishangilia baada ya viongozi wa meza kuu kuwasili ukumbini kuanza Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017. 




Wajumbe na waalikwa wakishangilia baada ya viongozi wa meza kuu kuwasili ukumbini kuanza Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017.




Wajumbe na waalikwa wakishangilia baada ya viongozi wa meza kuu kuwasili ukumbini kuanza Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017.




Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) na Katibu wa NEC Oganaizesheni Pereila Silima wakifurahi baada ya kuwasili ukumbini




Katibu Mkuu wa UWT Amina Makilagi akitoa maelezo ya awali kuanza kikao hicho




"kikao hiki tutakiendesha kwa mujibu wa Katiba yetu hii ya UWT..." anafafanua Amina Makilagi




Makilagi akitangazia wajumbea kumchagua Mwenyekiti wa muda wa kuendesha kikao hicho. Mwenyekiti wa muda ilibidi achaguliwe kutokana na aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Taifa Sophia Simba, kuvuliwa uongozi kutokana na kupatikana na hatia ya kuisaliti CCM wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita.




Wajumbea wakipiga kura za kunyoosha mikono kuchagua Mwenyekiti wa muda wa kikao hicho




Wajumbea wakipiga kura za kunyoosha mikono kuchagua Mwenyekiti wa muda wa kikao hicho ambapo walimchagua Diana Chilolo kutoka Singida




Diana Chilolo akienda meza kuu




Katibu Mkuu wa UWT Amina Makilagi akiwa amesimama kumlaki meza kuu Diana Chilolo




Diana Chilolo akikaribishwa meza kuu




Katibu wa NEC Oganaizesheni Pereila Silima (kushoto) akiwa amesimama baada ya kutambulishwa kwa wajumbe na Katibu Mkuu wa UWT Amina Makilagi (kulia), Utambulisho huo ulifanyika baada ya Mweneyekiti wa muda wa kikao hcho Dina Chilolo (katikati) kuketi.




Wajumbe wakiwa ukumbini




Wajumbea wakiwa ukumbini




Wajumbea ukumbini




Kikao kikianza kushika kasi




Mama Makilagi akiendelea kutoa maelezo na kumkaribisha mwenyekiti wa muda wa kikao hicho kuzungumza 




Mwenyekiti wa muda wa kikao hicho Diana Chilolo akizungumza




Mama Makilagi akiendelea kuzungumzia hatua nyingine za kikao hicho baada ya kukaribishwa na Mwenyekiti wa muda kufanya hivyo




Mama Makilagi akiendelea kuzungumza




Mama Makilagi akitambulisha wajumbe na walikwa kina mama ambao wamepewa nyadhifa mbalimbali na Rais Dk. John Magufuli hivi karibuni ambapo alimshukuru Rais kwa kuendelea kuwapa nafasi za uongozi wanawake.




Naibu Waziri wa Maendeleo ya Wanawake, Vijana na Watoto katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar aliyeteuliwa hivi karibuni Shadya Mohammed Silima akisalimia baada ya kutambulishwa 




Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mgeni Hassan Juma akisalimia alipotambulishwa katika kikao hicho.




Wajumbe wakiwa kwenye kikao hicho




Kikao kikiendelea baada ya baadhi ya viongozi kukaribishwa meza kuu




Taswira ya kikao hicho ndani ya kumbini, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. 

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...