Skip to main content

WAZIRI PROF.JUMANNE MAGHEMBE AFURAHIA BIDHAA ZA IVORI


Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akiwa ameshika bidhaa za kampuni ya Ivori Iringa ambazo ni chocolate na pipi za maziwa alipotembelea banda la kampuni hiyo katika maonyesho ya utalii wa kanda ya nyanda za juu kusini yalifanyikia katika mkoa wa Iringa viwanja vya kanisa la kikatoliki la parokia ya kihesa maarufu kama uwanja wa kichangani. 



Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe akiwa sambamba na mkuu wa mkoa wa iringa bi Amina Masenza walipotembelea banda la kampuni ya Ivori Iringa katika maonyesho ya utalii wa kanda ya nyanda za juu kusini yalifanyikia katika mkoa wa Iringa viwanja vya kanisa la kikatoliki la parokia ya kihesa maarufu kama uwanja wa kichangani.



Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akiomuonyesha waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe baadhi ya bidhaa za kampuni ya Ivori Iringa katika maonyesho ya utalii wa kanda ya nyanda za juu kusini yalifanyikia katika mkoa wa Iringa viwanja vya kanisa la kikatoliki la parokia ya kihesa maarufu kama uwanja wa kichangani.



Na Fredy Mgunda,Iringa.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe amezipongeza bidha zinazozalishwa na kampuni ya Ivori Iringa (I.F.B) iliyopo mkoani Iringa kuwa ni dhaa zenyeubora unatakiwa kwa afya ya mwanadamu hivyo kuwataka wananchi kuendelea kuzitumia ili kuvikuza viwanda vyetu vya ndani vinavoyetengeneza bidhaa bora kama za kampuni hii.

Akizungumza wakati wa kufungua maonyesho ya utalii wa kanda ya nyanda za juu kusini katika viwanja vya kichangani mkoani Irirnga Prof.Maghembe amekuwa akitumia bidhaa za Ivori mara kwa mara bado anazipenda kutokana na ubora wake.

“Hata akija mtu kutoka nje ya nchi hawezi amini kama bidhaa kama hizi za Ivori zinatengezwa Iringa Tanzania maana zimekuwa na ubora unastahili ndio maana leo kwenye maonyesho haya nimetembelea kwenye banda hili na kukuta bidhaa mchanganyiko wa kampuni ya Ivori Iringa (I.F.B)”alisema Prof. maghembe


Aidha Prof. maghembe aliwaomba viongozi wa mkoa wa Iringa na watanzania kwa ujumla kuendelea kuzitumia bidhaa hizo kwa kuzimia kwa lengo loa kuinua uchumi wa wazalendo hasa hivi viwanda wa wananchi wazawa tuvikumbatie ili kuendelea kutoa ajira kwa wananchi wengine.

“Nimeonja hizi chocolate za kampuni ya Ivori Iringa kwa kweli kama zile ambazo huwa nazinunua nikiwa ulaya au marekani jamani watanzania wenzangu tuendelee kutumia bidhaa bora zinazotengenezwa na kampuni zetu za kizalendo” alisema prof. maghembe.

Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza alisema kuwa kampuni ya Ivori Iringa imekuwa ikizalisha bidhaa bora na zenye viwango vya kimataifa ndio maana zimekuwa zikipendwa na watu wengi.

“Ukitembea karibia maeneo yote hapa nchi Tanzania huwezi kuzikosa bidhaa za Ivori Iringa kutokana na ubora wake hivyo wanasii tu waongeze wigo wa soko la bidhaa zao bila woga maana zinaubora unaotakiwa” alisema Masenza

Lakini nikukumshe tu mnamo tarehe 16 mwezi wa nne mwaka 2016 kampuni ya Ivori Iringa ilitoa angalizo kwa watumiaji wa bidhaa zao kwa kuwa kumekuwa chocolate zinazofanana na chocolate za kampuni hiyo.

Kama wewe ni mmoja kati ya watu ambao umekua ukikutana na Chocolate inayotoka nje ya Nchi yenye nembo inayofananishwa na Chocolate ya Ivori Iringa ukahisi labda wamebadilisha muonekano wa nembo yao sasa Uongozi wa Kampuni ya IVORI IRINGA inayo majibu yake kwenye hizi sentensi 5 na inabidi uzingatie pia unapoenda dukani kununua.

1-Kuhakikisha kila bidhaa unayonunua ya IVORI ina Nembo Halisi ya IVORI yenye Herufi I mwanzoni na herufi I mwishoni.

isomeke IVORI CHOCOLATE na Sio IVORY CHOCOLATE


2-Bidhaa zetu zote zinatengenezwa TANZANIA,Tunajivunia Uzalendo wetu na ndio maana bidhaa zetu zote ni MADE IN TANZANIA .

3-Hakikisha kila Chocolate yetu unayoinunua ina Rangi ya kahawia ndani ya pakiti yake ikiwa na Ladha tamu ya maziwa ikitegenezewa na COCOA Halisi inayolimwa na Wakulima Nchini TANZANIA


4-Rangi ya kifungashio chakeni ya Njano iliyochanganywa na Rangi ya Zambarau.

5-Gharama zetu Elekezi ni Shilingi 1000 kwa Gram 40 na Shilingi 500 kwa Gram 20 na hatuna ujazo unaozid gram 40.


Iwapo kuna utofauti wa Bidhaa unayoiona na kuitilia shaka kampuni ya IVORI wanaomba sana uwasiliane nao kwa sababu inabidi uwe Mjanja ili Usidanganyike Kununua Bidhaa Feki,Nunua Bidhaa Orijino Za Ivori Iringa, Epuka Kutapeliwa.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...