Skip to main content

NAIBU WAZIRI ARIDHISHWA NA UJENZI BARABARA YA MAFINGA-IGAWA



Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa (mwenye wa miwani nyeusi), akikagua ujenzi wa barabara ya Mafinga-Igawa sehemu ya barabara kuu ya TANZAM mjini Mafinga wilayani Mufindi, Mkoa wa Iringa, huku akiongonzana na Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoa wa Iringa Mhandisi Daniel Kindole (kushoto kwake) pamoja na Mhandisi Mkazi Narapati Katel (kushoto kabisa) wakati wa ziara yake mkoani hapa jana. (Picha na Friday Simbaya)








naibu waziri wa ujenzi elias kwandikwa (wa pili kulia) akisalimiana na baadhi ya viongozi wa wilaya ya mufindi mkoani iringa kabla ya kukagua ukarabati wa barabara ya mafinga-igawa sehemu ya tazam unaotekelezwa na kampuni ya kichana ya CCECC kwa kiwango cha lami leo. (picha na friday simbaya)




Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa (Mb), ametoa wito kwa wananchi na watumia barabara kuhakikisha wanatunza miundombiunu za barabara ili kupunguza matengenezo ya barabara ya mara kwa mara.

Kwandikwa ametoa wito huo mkoani Iringa wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Mafinga-Igawa yenye urefu wa KM 137.9 sehemu ya barabara kuu ya TANZAM. 

Alisisitiza kuwa umuhimu wa kutunza miundombini ya barabara kutasaidia barabara hizo kutumika kwamuda mrefu na kuondoa malalamiko kwa wananchi na baadhi ya viongozi kuwa wanashindwa kufanya shughuli za maendeleo kwa kisingizio cha ubovu wa barabara.

Kuhusu barabara hiyo ya Mafinga-Igawa inayojengwa kufuatia agizo la Rais Dkt John Magufuli, Kwandikwa amemtaka mkandarasi kuhakikisha ujenzi huo unafanyika kwa kuzingatia viwango vya ubora uliopangwa kwa mujibu wa mkataba wake.

Kwa upande wake Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoa wa Iringa Mhandisi Daniel Kindole, amemuhakikishia Naibu Waziri Kwandikwa kuwa serikali ya mkoa huo imejipanga kushirikiana na mkandarasi ili barabara hiyo ikamilike ndani ya muda uliopangwa.

Mhandisi Kindole alisema kuwa Wakala utawasimamia makandarasi wa kichana China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) ili kuhakikisha wanamaliza ujenzi huo kwa wakati baada ya changamoto ya tatizo la maji kupatiwa ufumbuzi.

Naibu Waziri Elias Kwandikwa, alikuwa katika ziara ya kikazi ya kukagua ujenzi wa barabara pamoja na miradi inayosimamiwana wakala ya majengo Tanzania (TBA).











Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...