Skip to main content

FAMILIA YA MKAZI MMOJA WA MANISPAA YA IRINGA YANUSURIKA KUNGUA MOTO






Na Friday Simbaya, Iringa 

Familia ya mkazi mmoja wa Mwangata Msikitini katika kata ya Mwangata Manispaa ya Iringa yanusurika kuteketea kwa moto baada ya majirani kuwaokoa kwa kufumua dirisha la nyuma ya nyumba yao. 

Tukio hilo limetokea majira ya saa 5:30 asubuhi wakati famila ya onesmo cosmas ikiwa ndani wakiendelea na shughuli ambapo chanzo za moto kinadaiwa ni mtungi wa gesi kuvuja. 


Mwandishi wa gazeti la Nipashe alishuhudia wananchi wakihangaika kuzima moto kwa kutumia mipira ya maji na ndoo pamoja na mchanga ambapo hatimaye uliwashinda na kuomba msaada kutoka jeshi la zimamoto. 

Baadhi ya mashuhuda walioongea na Nipashe jana walisema kuwa wamepiga simu ya dharura ya zimamoto ambayo ni 114 kuwajulisha tukio la moto ambapo walisema gari la zimamoto na uokoaji lilifika kwa kuchelewa baada ya muda na kuudhibiti moto kabla haujashika nyumba nyingine za jirani 

Shuhuda wa ajali ya moto Musa Juma ambaye ni mkazi wa Kata ya Mwangata alisema kuwa alisikia kelele za watu wakisema moto, moto ndipo alikurupuka na kwenda kuangalia na kusaidia kuzima moto. 

Alisema kuwa majirani walipiga simu muda mrefu jeshi la zimamoto lakini lilifika kwa kuchelewa nakukuta banda lililoezekwa kwa nyasi limeteketea lakini walifanikiwa kuuzima kabla haujasambaa katika nyumba za mwambata ya familia Onesmo Cosmas. 

Cosmas ambaye ameoa mzungu alikuwa hayupo wakati ajali ya moto inatokea alimuacha mke wake na watoto ndipo walitokea baada ya kupigiwa simu na mke wake. Mke wa Cosmas aligoma kuogea na vyombo vya habari vilivyofika kushuhudia tukio hilo la moto. 

Majirani waliokoa familia ya bwana Cosmas kwa kufumua dirisha la nyuma ya nyumba yao na kuanza kuwatoa kupitia dirisha baada ya kushindwa kutokea mlango ambapo ilisadikika moto ulianzia mlangoni ya nyumba ya nyasi amabyo ilitumika kama sehemu ya kupumzikia wageni. 

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Iringa Mrakibu Msaidizi James Micheal John alidhibitisha kutokea kwa moto na kusema kuwa wamefanikiwa kuzima moto kabla haujaleta madhara. 

Alisema kuwa walipigiwa simu na wananchi majira ya saa 5:30 asubuhi kwamba maeneo ya Mwangata msikitini inauungua moto na hatimaye kufanikiwa kuudhibiti moto kabla haujasambaa katika nyumba za mwambata za bawna Cosma pamoja na za majirani.FAMILIA YA MKAZI MMOJA WA MANISPAA YA IRINGA NUSURA ITKETEKE KWA MOTO



Na Friday Simbaya, Iringa

Familia ya mkazi mmoja wa Mwangata Msikitini katika kata ya Mwangata Manispaa ya Iringa yanusurika kuteketea kwa moto baada ya majirani kuwaokoa kwa kufumua dirisha la nyuma ya nyumba yao.

Tukio hilo limetokea majira ya saa 5:30 asubuhi wakati famila ya onesmo cosmas ikiwa ndani wakiendelea na shughuli ambapo chanzo za moto kinadaiwa ni mtungi wa gesi kuvuja.

Mwandishi wa gazeti la Nipashe alishuhudia wananchi wakihangaika kuzima moto kwa kutumia mipira ya maji na ndoo pamoja na mchanga ambapo hatimaye uliwashinda na kuomba msaada kutoka jeshi la zimamoto.

Baadhi ya mashuhuda walioongea na Nipashe jana walisema kuwa wamepiga simu ya dharura ya zimamoto ambayo ni 114 kuwajulisha tukio la moto ambapo walisema gari la zimamoto na uokoaji lilifika kwa kuchelewa baada ya muda na kuudhibiti moto kabla haujashika nyumba nyingine za jirani

Shuhuda wa ajali ya moto Musa Juma ambaye ni mkazi wa Kata ya Mwangata alisema kuwa alisikia kelele za watu wakisema moto, moto ndipo alikurupuka na kwenda kuangalia na kusaidia kuzima moto.

Alisema kuwa majirani walipiga simu muda mrefu jeshi la zimamoto lakini lilifika kwa kuchelewa nakukuta banda lililoezekwa kwa nyasi limeteketea lakini walifanikiwa kuuzima kabla haujasambaa katika nyumba za mwambata ya familia Onesmo Cosmas.

Cosmas ambaye ameoa mzungu alikuwa hayupo wakati ajali ya moto inatokea alimuacha mke wake na watoto ndipo walitokea baada ya kupigiwa simu na mke wake. Mke wa Cosmas aligoma kuogea na vyombo vya habari vilivyofika kushuhudia tukio hilo la moto.

Majirani waliokoa familia ya bwana Cosmas kwa kufumua dirisha la nyuma ya nyumba yao na kuanza kuwatoa kupitia dirisha baada ya kushindwa kutokea mlango ambapo ilisadikika moto ulianzia mlangoni ya nyumba ya nyasi amabyo ilitumika kama sehemu ya kupumzikia wageni.

Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Iringa Mrakibu Msaidizi James Micheal John alidhibitisha kutokea kwa moto na kusema kuwa wamefanikiwa kuzima moto kabla haujaleta madhara.

Alisema kuwa walipigiwa simu na wananchi majira ya saa 5:30 asubuhi kwamba maeneo ya Mwangata msikitini inauungua moto na hatimaye kufanikiwa kuudhibiti moto kabla haujasambaa katika nyumba za mwambata za bawna Cosma pamoja na za majirani.

Mrakibu msadizi wa jeshi la zimamoto aliongeza kuwa nyumba iliyoungua haikuwa na umeme na kusema kuwa chanzo cha moto bado hakijafahamika ila moto unaonekana kama ulihama kutoka sehemu moja.

Kamanda huyo alitoa wito kwa wananchi kuzingatia ramani za nyumba zao kwa kwenda Manispaa ili ramani hizo ziweze kuchunguzwa pamoja na kuangalia miuundombinu.

John Alisema miundombinu imekuwa kikwazo kikubwa kwa gari la zima moto kushindwa kufika eneo la tukio kwa kuchelewa.

Aidha, kamamda huyo waliomba pia wananchi kutoa ushirikiano kwa jeshi la zimamoto kwa kupiga simu ya dhararu ambayo ni 114 bure na kuwaasa kuwaomba wasitumie namba hiyo kwa kutoa taarifa za uongo kwa sababu zitakwamisha juhudi za jeshi hilo.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...