Skip to main content

GGM yaadhimisha Siku ya Malaria Duniani

Mgodi wa Dhahabu Geita (GGML) umeadhimisha siku ya Malaria Duniani kwa kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO). Kaulimbiu ya Sikuya Malaria Duniani mwaka huu ni Kuwa Tayari Kuishinda Malaria.

Mgodi wa Dhahabu Geita (GGML) unaendelea na mkakati wa kupunguza Malaria kwenye jamii ya Geita. Jitihada hiyo inachangia juhudi za Dunia kufikia malengo ya Mkakati wa Dunia kwa Ugonjwa wa Malaria uliowekwa na Shirika la (WHO) kuwa ifikapo mwaka 2020 Dunia yote ipunguze Malaria na vifo vitokanavyo na Malaria kwa asilimia 40. 

Mgodi wa Dhahabu Geita (GGML) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Mji wa Geita ilizindua mpango wa Kupambana na Ugonjwa wa Malaria mwaka 2010 wa kunyunyuzia Dawa ya Ukoko kwenye kaya mbalimbali mjini Geita.

Kwa sasa kwenye mwaka wake wa Sita katika Kampeni hiyo kiasi cha US$ 900,000 kimetengwa katika Mpango huo. Utafiti uliofanywa na Ofisi ya Afya ya Mkoa wa Geita umebaini kushuka kwa takwimu za Ugonjwa wa Malaria kuanzia mwaka 2012. 

Hali hiyo imepunguza kwa kiwango kikubwa idadi ya Watoto na mama wajawazito wanaofikishwa Hospitali kutokanana Ugonjwahuo. Huduma ya Afya imeimarika na vifo vitokanavyona Malaria vimepungua kwa kiwango kikubwa. 

“Tunafarijika sana kuwa sehemu ya Mchango ya Mapambano dhidi ya Malaria,” alisema Makamu wa Rais wa Miradi endelevu kutoka Mgodi wa Dhahabu Geita, Bw. Simon Shayo. 

“Hatua hii itaendelea kuwa kipeumbele chetu kwa kuwa maendeleo ya uchumi na kijamii msingi wake unajengwa kupitia rasilimali watu yenye Afya.” 

Msimu uliopita, GGML ilishirikiana na Taasisi isiyoya Kiserikali ya Abt Associates pamoja na Halamshauri ya Mji wa Geita kunyunyizia kaya 20,000 katika kata za Saba za Mtakuja, Nyamkumbu, Kalangalala, Kasamwa, Bunegezi, Bulela na Bung’wangoko mjini Geita. 

Pamoja na unyunyiziaji wa Dawa hiyo, elimu na uhamasishaji kuhusu Ugonjwa wa Malaria vimefanyika kuwezesha jamii kuwa na mwamko na kuunga mkono mradi huo iliuweendelevu. 

Zaidi ya Vijana 300 wasichana na Wavulana mjini Geita wamepatiwa mafunzo maalum na kuajiriwa sehemu mbalimbali kutekeleza Mradi huo hatua inayowapatia ujuzi na kipato.

Ugonjwa wa Malaria unabakia kuwa changamoto inayokua kwenye Afya na maendeleo ya jamii kwa nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara ikiwemo Tanzania hali inayohatarisha uzalishaji na ustawi wa jamii.

Mama wajawazito na watoto chini ya miaka mitano ni kundi linaloathirika zaidi na ugonjwa huo hali inayosababisha vifo vingi. 


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...