Skip to main content

Polisi Iringa laanza operesheni ya kukagua liseni za madereva...





Na Friday Simbaya, Iringa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa katika kukabiliana na ajali za barabara limeanza kufanya operesheni ya kukagua leseni za madereva wote wa magari yakiwemo mabasi ya abira. 

Akizungumza na waandishi wa habari jana Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, Juma Bwire alisema kuwa kutokana na kuwepo na leseni za kugushi pamoja na kukosekana kwa mafunzo kazini kwa madereva. Alisema kuwa mafunzo hayo ni ya kukumbushana

Kamanda Bwire alisema kuwa operesheni hiyo itaanza Julai 4 hadi Julai 7 mwaka huu, ambapo tarehe 9 Julai hadi Jumamosi ya Julai 14 wanatarajia madereva kwa lengo la kuwapatia mafunzo kazini.

Hatua hiyo imekuja kufuatia mabadiliko ya mkuu wa jeshi la polisi nchini (IGP) Simon Sirro kufanya mabadiliko ya makanada wa polisi katika baadhi ya mikoa.

Mabadiliko hayo kwa mujibu wa IGP ni kwa lengo la kuoongeza juhudi za kuzuia ajali zinazotokana mara kwa mara katika baadhi ya mikoa.

Kwa upande wake, Salum Chang’a ambaye ni dereva wa mabasi Nani kaona aliponza jeshi la polisi kwa operesheni hiyo na kuwaoba madereva wenzake kutoa ushirikiano katika kukabiliana na ajali za bararani mkoani hapa.

Chang’a ambaye alikuwa ndio dereva wa kwanza kukaguliwa alisema kuwa ili operesheni hiyo iwezo kufanyiwa polisi wanatakiwa kuanza na madereva wa malori na wale gari za IT kupima ulevi.

Alisema kuwa madereva wengi wa magari makubwa wanatabia ya kunywa pombe kila kituo hasa maeneo ya Ruaha Mbuyuni na Mikumi.




Aliongeza kuwa pombe ni kitovu cha uzembe wa ajali za barabarani. Katika hatua nyingine, Polisi mkoani Iringa wameokota mwili wa Yakobi Mhengilolo,23 mkazi wa Usokami na funding sekemara aliyekutwa amefariki dunia katika barabara ya kuelekea kijiji cha Kibengu.


Kamanda wa Polisi Mkoani Iringa ACP Bwire alisema kuwa tukio hill lilitokea tarehe 02/07/2018 majira ya SAA 19:30hrs katika cha usokami tarafa ya Kibengu wilayani Iringa mkoani Iringa.

Alisema kuwa uchunguzi wa daktari unaonesha kuwa marehemu amevunjika shingo, mbavu mbili pamoja na kuwa na michubuko/ majeraha mwilini.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...