Skip to main content

Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa Makampuni ya Bima ya nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika



Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa 41 wa umoja wa kikanda wa makampuni ya bima ya nchi za Mashariki na kusini mwa Afrika (OESAI) ukiwa na lengo la kuendeleza vipaumbele vya kukuza soko la bima.

Hayo yameelezwa jijini Dar es salaam na kamishna wa bima wa mamlaka ya usimamizi wa shughuli za bima nchini (TIRA) Dkt. Baghayo Saqware wakati akitoa taarifa ya mkutano huo amesema kuwa mkutano huo utaleta manufaa kwa taifa kutokana na kuwa na wageni zaidi ya 350 kutoka mataifa zaidi ya 30 yanayohudhuria mkutano huo.

“Makampuni ya bima, wafanyabiashara na watoa huduma changamkiani fursa hizo haswa wale waliopo Kwenye jiji la Arusha ili msaidie katika kukuza uchumi wa taifa letu.” Amesema Saqware.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mkutano huo Khamis Sulemani amesema kuwa uwepo wa mkutano huo hapa nchini utasaidia kutoa elimu na uzoefu kwa makampuni ya ndani kujua jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza Kwenye sekta hiyo.

Aidha ameongeza kuwa kuzorota kwa biashara ya mabenki hapa nchini kumechangia kwa kiasi kikubwa kuathiri sekta ya bima kutokana na uwekezaji wao mkubwa kutegemea benki hivyo kwa sasa watajitahidi kuwekeza kwenye vitu visivyohamishika.

Pia amesema kuwa lengo la mamlaka hiyo ni kuhakikisha kuwa ifikakapo mwaka 2020 asilimia 50 ya watanzania wawe na aina yeyote ya bima ambapo kwa sasa Tanzania iko nafasi ya pili kwa nchi za Afrika Mashariki kwa kutoa huduma za bima.

Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Agosti 27_29 mwaka huu jijini Arusha ukiwa na kauli mbiu ya “Kuimarisha na kufanya mageuzi katika sekta ya bima kwa maendeleo endelevu” ikiwa imepita miaka 23 tangu mkutano huo ufanyike Tanzania mwaka 1995.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...