Skip to main content

Waombolezaji Wakwama Njiani Wakielekea Kwenye Mazishi


Iringa. Waombolezaji kutoka Manispaa ya Iringa wamejikuta wakikwama njiani kutokana na utelezi mkubwa uliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha, walipokuwa wakielekea kuzika mpendwa wao, marehemu Mzee Vesdasto Myulla.

Tukio hilo lilitokea katika barabara ya njiapanda ya Tosamaganga–Luhota, wilayani Iringa, ambapo magari yaliyokuwa yamebeba waombolezaji yalishindwa kupita kutokana na matope na utelezi mkali.

Waombolezaji hao waliondoka mjini Iringa majira ya saa 8 mchana, baada ya ibada ya kuaga mwili iliyofanyika katika Mtaa wa Mwimbi B, Kata ya Makorogoni. Msafara huo ulikuwa ukielekea kwenye makaburi ya familia ya kina Myulla yaliyopo Luhota, Kata ya Ikuvilo, wilayani Iringa.

Baadhi ya waombolezaji walilazimika kushuka kwenye magari na kusukuma ili kujaribu kuvuka eneo hilo, huku wengine wakilazimika kusubiri kwa muda hadi hali ya barabara iliporuhusu safari kuendelea.


Wakizungumza kwa masikitiko, baadhi ya wananchi walisema changamoto ya barabara hiyo imekuwa ya muda mrefu kila kipindi cha mvua, na kuiomba serikali kuingilia kati ili kuimarisha miundombinu katika eneo hilo.

Wakati huohuo, wananchi wa Kijiji cha Ikuvilo, Kata ya Luhota, wameeleza kero ya kukosa zahanati na huduma ya umeme. Wamesema hali hiyo imekuwa ikiwasababishia usumbufu mkubwa, hususan wakati wa dharura za kiafya na shughuli za kiuchumi.

Wananchi hao wamepeleka kilio chao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, wakimuomba awasaidie kupata huduma za msingi ili kuboresha maisha yao.

 

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...